Sunday, September 18, 2011

BLOG testing

 spika mpya wa serikali ya wanafunzi MUCCOBS 2011/12 kushoto ndugu Ezra akiwa na naibu spika Baraka kutoka kulia pamoja Mdau mwingine wakipongezana baada tukio la uapishwaji kukamilika
Paul Makonda waziri mkuu mpya wa serikali ya wanafunzi chuo cha ushirika na biashara moshi MUCCOBS 2011/12



katikati(mrefu mwenye suti nyeusi) raisi mpya wa serikali ya wanafunzi MUCCOBS 2011/12 Geofrey G Washoto akipiga picha ya pamoja na baadhi ya baraza jipya la mawaziri.kutoka kushoto Amina Kulukwa,Heri Haji,Raymond Pambila,Kelvin Lyimo,Mecky Ngonyani ,Dickson Makamba

No comments:

Post a Comment